1 Samuel 16:17 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Shauli akawaambia watumishi wake, “Nitafutieni mtu huyo anayeweza kupiga kinubi vizuri, mniletee.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi Sauli akawaambia watumishi wake, “Mtafuteni mtu apigaye kinubi vizuri mkamlete kwangu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Sauli akawaambia, Vema, nitafutieni mtu aliye stadi wa kupiga kinubi, mkaniletee.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Shauli akawaambia watumishi wake, “Nitafutieni mtu huyo anayeweza kupiga kinubi vizuri, mniletee.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi Sauli akawaambia watumishi wake, “Mtafuteni mtu apigaye kinubi vizuri mkamlete kwangu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi Sauli akawaambia watumishi wake, “Mtafuteni mtu apigaye kinubi vizuri mkamlete kwangu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Sauli akawaambia, Vema, nitafutieni mtu aliye stadi wa kupiga kinubi, mniletee.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Shauli akawaambia watumishi wake, “Nitafutieni mtu huyo anayeweza kupiga kinubi vizuri, mniletee.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sauli akawaambia watumishi wake: Nitafutieni mtu anayejua vema kupiga zeze, kamleteni kwangu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Sauli akawaambia, Vema, nitafutieni mtu aliye stadi wa kupiga kinubi, mkaniletee.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Saulo akawaambia watumishi wake: “Munitafutie mutu yule anayeweza kupiga kinubi vizuri, muniletee naye.”