1 Samuel 17:29 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Daudi akamjibu, “Sasa nimefanya nini? Je, siwezi kuuliza swali tu?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Daudi akasema, “Sasa nimefanya nini? Je, siwezi hata kuongea.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Daudi akamjibu, Je! Mimi nimekosa nini sasa? Je! Si neno kubwa hilo?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Daudi akamjibu, “Sasa nimefanya nini? Je, siwezi kuuliza swali tu?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Daudi akasema, “Sasa nimefanya nini? Je, siwezi hata kuongea.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Daudi akasema, “Sasa nimefanya nini? Je, siwezi hata kuongea.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Daudi akamjibu, Je! Mimi nimekosa nini sasa? Je! Si neno kubwa hilo?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Daudi akamjibu, “Sasa nimefanya nini? Je, siwezi kuuliza swali tu?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Dawidi akamwuliza: Nimekosa nini sasa? Hilo si neno la kuuliza tu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Daudi akamjibu, Je! Mimi nimekosa nini sasa? Je! Si neno kubwa hilo?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Daudi akamujibu: “Sasa nimefanya nini? Siwezi kuuliza neno tu?”