1 Samuel 17:42 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yule Mfilisti alipoangalia na kumwona vizuri Daudi, alimdharau, kwani Daudi alikuwa kijana tu, mwenye afya na wa kupendeza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mfilisti akamwangalia Daudi kote na kumwona kuwa ni kijana tu, mwekundu na mzuri wa kupendeza, naye akamdharau.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hata Mfilisti alipotazama huku na huku, akamwona Daudi akamdharau; kwa kuwa ni kijana tu mwekundu, tena ana sura nzuri.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yule Mfilisti alipoangalia na kumwona vizuri Daudi, alimdharau, kwani Daudi alikuwa kijana tu, mwenye afya na wa kupendeza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mfilisti akamwangalia Daudi kote na kumwona kuwa ni kijana tu, mwekundu na mzuri wa kupendeza, naye akamdharau.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mfilisti akamwangalia Daudi kote na kumwona kuwa ni kijana tu, mwekundu na mzuri wa kupendeza, naye akamdharau.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hata Mfilisti alipotazama huku na huku, akamwona Daudi akamdharau; kwa kuwa ni kijana tu mwekundu, tena ana sura nzuri.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yule Mfilisti alipoangalia na kumwona vizuri Daudi, alimdharau, kwani Daudi alikuwa kijana tu, mwenye afya na wa kupendeza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yule Mfilisti alipochungulia, amwone Dawidi, akambeza, kwa kuwa ni kijana bado, tena ni mwekundu na mwenye umbo zuri.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hata Mfilisti alipotazama huku na huku, akamwona Daudi akamdharau; kwa kuwa ni kijana tu mwekundu, tena ana sura nzuri.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yule Mifilistini alipoangalia na kumwona vizuri Daudi, alimuzarau, maana Daudi alikuwa kijana muzuri mwenye afya nzuri na wa kupendeza.