1 Samuel 17:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kichwani alivaa kofia ya shaba, na deraya ya shaba kifuani yenye uzito wa kilo 57.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Alikuwa na chapeo ya shaba kichwani mwake, na alivaa dirii ya shaba kifuani mwake yenye uzito wa shekeli elfu tano.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Alikuwa na chapeo ya shaba kichwani, tena amevaa darii ya shaba; na uzani wake ile darii ya shaba ulikuwa shekeli elfu tano za shaba.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kichwani alivaa kofia ya shaba, na deraya ya shaba kifuani yenye uzito wa kilo 57.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Alikuwa na chapeo ya shaba kichwani mwake, na alivaa dirii ya shaba kifuani mwake yenye uzito wa shekeli elfu tano.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Alikuwa na chapeo ya shaba kichwani mwake, na alivaa dirii ya shaba kifuani mwake yenye uzito wa shekeli elfu tano.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Alikuwa na chapeo ya shaba kichwani, tena amevaa darii ya shaba; na uzani wake ile darii ya shaba ulikuwa shekeli elfu tano za shaba.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kichwani alivaa kofia ya shaba, na deraya ya shaba kifuani yenye uzito wa kilo 57.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alikuwa amevaa kofia ya shaba kichwani, tena kifuani fulana ya chuma, nao uzito wa hiyo fulana ulikuwa sekeli 5000, ndio frasila 5 za shaba.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Alikuwa na chapeo ya shaba kichwani, tena amevaa darii ya shaba; na uzani wake ile darii ya shaba ulikuwa shekeli elfu tano za shaba.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwenye kichwa chake alivaa kofia ya shaba, na nguo ya shaba kwa kifua yenye uzito wa kilo makumi tano na saba.