1 Samuel 17:50 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ndivyo Daudi alivyomshinda Goliathi kwa kombeo lake na jiwe. Alimpiga yule Mfilisti na kumuua. Daudi hakuwa na upanga wowote mkononi mwake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi Daudi akamshinda huyo Mfilisti kwa kombeo na jiwe; bila kuwa na upanga mkononi mwake akampiga huyo Mfilisti na kumuua.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hivyo Daudi akamshinda yule Mfilisti kwa kombeo na jiwe, akampiga Mfilisti, akamwua; walakini Daudi hakuwa na upanga mkononi mwake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ndivyo Daudi alivyomshinda Goliathi kwa kombeo lake na jiwe. Alimpiga yule Mfilisti na kumuua. Daudi hakuwa na upanga wowote mkononi mwake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi Daudi akamshinda huyo Mfilisti kwa kombeo na jiwe; bila kuwa na upanga mikononi mwake akampiga huyo Mfilisti na kumwua.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi Daudi akamshinda huyo Mfilisti kwa kombeo na jiwe; bila kuwa na upanga mikononi mwake akampiga huyo Mfilisti na kumuua.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hivyo Daudi akamshinda yule Mfilisti kwa kombeo na jiwe, akampiga Mfilisti, akamwua; walakini Daudi hakuwa na upanga mkononi mwake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ndivyo Daudi alivyomshinda Goliathi kwa kombeo lake na jiwe. Alimpiga yule Mfilisti na kumuua. Daudi hakuwa na upanga wowote mkononi mwake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hivyo ndivyo, Dawidi alivyomshinda yule Mfilisti kwa kombeo na kwa kijiwe, akampiga yule Mfilisti na kumwua pasipo kushika upanga mkononi mwake yeye Dawidi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hivyo Daudi akamshinda yule Mfilisti kwa kombeo na jiwe, akampiga Mfilisti, akamwua; walakini Daudi hakuwa na upanga mkononi mwake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ndivyo Daudi alivyomushinda Goliati kwa mujeledi wake na jiwe. Alimupiga yule Mufilistini na kumwua. Daudi hakukuwa na upanga wowote katika mukono wake.