1 Samuel 17:56 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mfalme Shauli akamwambia, “Basi, uliza yeye ni kijana wa nani.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mfalme akasema, “Uliza huyu kijana ni mwana wa nani.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi mfalme akasema, Uliza wewe, kijana huyu ni mwana wa nani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mfalme Shauli akamwambia, “Basi, uliza yeye ni kijana wa nani.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mfalme akasema, “Uliza huyu kijana ni mwana wa nani.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mfalme akasema, “Uliza huyu kijana ni mwana wa nani.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi mfalme akasema, Uliza wewe, kijana huyu ni mwana wa nani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mfalme Shauli akamwambia, “Basi, uliza yeye ni kijana wa nani.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mfalme akamwambia: Uliza, kama hili jana ni mwana wa nani?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi mfalme akasema, Uliza wewe, kijana huyu ni mwana wa nani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mufalme Saulo akamwambia: “Basi, uliza yeye ni kijana wa nani.”