1 Samuel 18:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Shauli alipoona kufanikiwa kwa Daudi, akawa anamwogopa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sauli alipoona jinsi alivyokuwa akifanikiwa, akamwogopa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sauli alipoona ya kwamba alitenda kwa busara sana, yeye alimwogopa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Shauli alipoona kufanikiwa kwa Daudi, akawa anamwogopa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sauli alipoona jinsi alivyokuwa akifanikiwa, akamwogopa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sauli alipoona jinsi alivyokuwa akifanikiwa, akamwogopa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sauli alipoona ya kwamba alitenda kwa busara sana, yeye alimwogopa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Shauli alipoona kufanikiwa kwa Daudi, akawa anamwogopa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sauli alipoona, ya kuwa ni mwenye werevu sana, akazidi kumwogopa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sauli alipoona ya kwamba alitenda kwa busara sana, yeye alimwogopa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Saulo alipoona kufanikiwa kwa Daudi, akakuwa anamwogopa.