1 Samuel 18:26 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wale watumishi walipomweleza Daudi yale matakwa ya Shauli, Daudi alifurahi kuwa mfalme atakuwa baba mkwe wake. Kabla ya siku ya harusi,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watumishi walipomwambia Daudi mambo haya, ikampendeza kuwa mkwewe mfalme. Basi kabla siku iliyopangwa haijafika,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na watumishi wake walipomwambia Daudi; maneno hayo, ilimpendeza Daudi sana kuwa mkwewe mfalme. Na siku zilikuwa hazijaisha bado;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wale watumishi walipomweleza Daudi yale matakwa ya Shauli, Daudi alifurahi kuwa mfalme atakuwa baba mkwe wake. Kabla ya siku ya harusi,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watumishi walipomwambia Daudi mambo haya, ikampendeza kuwa mkwewe mfalme. Basi kabla siku iliyopangwa haijafika,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watumishi walipomwambia Daudi mambo haya, ikampendeza kuwa mkwewe mfalme. Basi kabla siku iliyopangwa haijafika,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na watumishi wake walipomwambia Daudi; maneno hayo, ilimpendeza Daudi sana kuwa mkwewe mfalme. Na siku zilikuwa hazijaisha bado;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wale watumishi walipomweleza Daudi yale matakwa ya Shauli, Daudi alifurahi kuwa mfalme atakuwa baba mkwe wake. Kabla ya siku ya harusi,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Watumishi wa Sauli walipomsimulia Dawidi maneno hayo, jambo hili likampendeza Dawidi kuwa njia ya kuwa mkwewe mfalme. Siku zilipokuwa hazijatimia bado,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na watumishi wake walipomwambia Daudi; maneno hayo, ilimpendeza Daudi sana kuwa mkwewe mfalme. Na siku zilikuwa hazijaisha bado;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wale watumishi walipomwelezea Daudi yale mapenzi ya Saulo, Daudi alifurahi kwamba mufalme atakuwa baba mukwe wake. Mbele ya siku ya arusi,