1 Samuel 18:29 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
alizidi kumwogopa Daudi. Shauli akawa adui wa Daudi daima.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sauli akazidi kumwogopa Daudi, naye Sauli akabaki kuwa adui yake siku zote za maisha yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Sauli akazidi kumwogopa Daudi; Sauli akawa adui yake Daudi sikuzote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
alizidi kumwogopa Daudi. Shauli akawa adui wa Daudi daima.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sauli akazidi kumwogopa Daudi, naye Sauli akabaki kuwa adui yake siku zote za maisha yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sauli akazidi kumwogopa Daudi, naye Sauli akabaki kuwa adui yake siku zote za maisha yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Sauli akazidi kumwogopa Daudi; tangu wakati huo, Sauli akawa adui yake Daudi daima.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
alizidi kumwogopa Daudi. Shauli akawa adui wa Daudi daima.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Sauli alipoendelea kumwogopa Dawidi zaidi, kwa hiyo Sauli akawa mchukivu wake Dawidi siku zote.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Sauli akazidi kumwogopa Daudi; Sauli akawa adui yake Daudi sikuzote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
alizidi kumwogopa Daudi. Saulo akakuwa adui wa Daudi siku zote.