1 Samuel 18:3 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa kuwa Yonathani alimpenda Daudi kama roho yake, alifanya agano naye.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yonathani akafanya agano na Daudi kwa sababu alimpenda kama nafsi yake mwenyewe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao Yonathani na Daudi wakaahidiana, kwa kuwa alimpenda kama roho yake mwenyewe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa kuwa Yonathani alimpenda Daudi kama roho yake, alifanya agano naye.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yonathani akafanya agano na Daudi kwa sababu alimpenda kama nafsi yake mwenyewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yonathani akafanya agano na Daudi kwa sababu alimpenda kama nafsi yake mwenyewe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao Yonathani na Daudi wakaahidiana, kwa kuwa alimpenda kama roho yake mwenyewe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa kuwa Yonathani alimpenda Daudi kama roho yake, alifanya agano naye.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Yonatani na Dawidi walipofanya urafiki wa uchale, kwa kuwa alimpenda, kama alivyojipenda.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao Yonathani na Daudi wakaahidiana, kwa kuwa alimpenda kama roho yake mwenyewe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa sababu Yonatani alimupenda Daudi kama roho yake, alifanya agano naye.