1 Samuel 18:7 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Pia walikuwa wanacheza na kuimba nyimbo za kuitikiana hivi: “Shauli ameua maelfu yake, na Daudi ameua makumi elfu yake.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Walipokuwa wanacheza, wakaimba: “Sauli amewaua elfu zake, naye Daudi makumi elfu yake.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao wale wanawake wakaitikiana wakicheza, wakasema, Sauli amewaua elfu zake, Na Daudi makumi elfu yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Pia walikuwa wanacheza na kuimba nyimbo za kuitikiana hivi: “Shauli ameua maelfu yake, na Daudi ameua makumi elfu yake.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Walipokuwa wanacheza, wakaimba: “Sauli amewaua elfu zake, naye Daudi makumi elfu yake.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Walipokuwa wanacheza, wakaimba: “Sauli amewaua elfu zake, naye Daudi makumi elfu yake.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao wale wanawake wakaitikiana wakicheza, wakasema, Sauli amewaua elfu zake, Na Daudi makumi elfu yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Pia walikuwa wanacheza na kuimba nyimbo za kuitikiana hivi: “Shauli ameua maelfu yake, na Daudi ameua makumi elfu yake.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hao wanawake wakaitikiana katika kuimba kwao kwamba: Sauli ameua elfu lake, lakini Dawidi ameua maelfu yake kumi!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao wale wanawake wakaitikiana wakicheza, wakasema, Sauli amewaua elfu zake, Na Daudi makumi elfu yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Vilevile walikuwa wanacheza na kuimba nyimbo za kuitikiana hivi: “Saulo ameua maelfu yake, na Daudi ameua elfu yake makumi.”