1 Samuel 18:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tangu siku hiyo, Shauli akawa anamwonea kijicho Daudi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kuanzia wakati ule na kuendelea Sauli akawa na jicho la wivu juu ya Daudi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sauli akamwonea Daudi wivu tangu siku ile.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tangu siku hiyo, Shauli akawa anamwonea kijicho Daudi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kuanzia wakati ule na kuendelea Sauli akawa na jicho la wivu juu ya Daudi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kuanzia wakati ule na kuendelea Sauli akawa na jicho la wivu juu ya Daudi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sauli akamwonea Daudi wivu tangu siku ile.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tangu siku hiyo, Shauli akawa anamwonea kijicho Daudi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku hiyo ndipo, Sauli alipoanzia kumnunia Dawidi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sauli akamwonea Daudi wivu tangu siku ile.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tangu siku hiyo, Saulo akakuwa anamusikilia Daudi wivu.