1 Samuel 19:13 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mikali akachukua kinyago, akakilaza kitandani na kichwani pake akaweka mto wa manyoya ya mbuzi. Kisha akakifunika kwa nguo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha Mikali akachukua kinyago, akakilaza kitandani, akakifunika kwa vazi na kukiwekea singa za mbuzi kichwani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo Mikali akakitwaa kinyago, na kukilaza kitandani, akatia na mto wa singa za mbuzi kichwani pake, na kukifunika kwa nguo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mikali akachukua kinyago, akakilaza kitandani na kichwani pake akaweka mto wa manyoya ya mbuzi. Kisha akakifunika kwa nguo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha Mikali akachukua kinyago, akakilaza kitandani, akakifunika kwa vazi na kukiwekea singa za mbuzi kichwani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha Mikali akachukua kinyago, akakilaza kitandani, akakifunika kwa vazi na kukiwekea singa za mbuzi kichwani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo Mikali akakitwaa kinyago, na kukilaza kitandani, akatia na mto wa singa za mbuzi kichwani pake, na kukifunika kwa nguo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mikali akachukua kinyago, akakilaza kitandani na kichwani pake akaweka mto wa manyoya ya mbuzi. Kisha akakifunika kwa nguo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Mikali akakichukua kinyago cha nyumbani, akakilaza kitandani, kichwani pake akaweka mto wa manyoya ya mbuzi, akakifunika kwa nguo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo Mikali akakitwaa kinyago, na kukilaza kitandani, akatia na mto wa singa za mbuzi kichwani pake, na kukifunika kwa nguo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mikali akatwaa sanamu, akailalisha kwenye kitanda na kwenye kichwa chake akaweka kiegemeo cha manyoya ya mbuzi. Kisha akafunika kwa nguo.