1 Samuel 21:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Akishi akawaambia watumishi wake, “Mnajua kuwa mtu huyu ni mwendawazimu; kwa nini mmemleta kwangu?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akishi akawaambia watumishi wake, “Tazameni mtu huyu! Ana wazimu! Kwa nini mnamleta kwangu?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo huyo Akishi akawaambia watumishi wake, Angalieni, mwaona ya kuwa mtu huyu ana wazimu; basi, maana yake nini kumleta kwangu?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Akishi akawaambia watumishi wake, “Mnajua kuwa mtu huyu ni mwendawazimu; kwa nini mmemleta kwangu?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akishi akawaambia watumishi wake, “Tazameni mtu huyu! Ana wazimu! Kwa nini mnamleta kwangu?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akishi akawaambia watumishi wake, “Tazameni mtu huyu! Ana wazimu! Kwa nini mnamleta kwangu?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo huyo Akishi akawaambia watumishi wake, Angalieni, mnaona ya kuwa mtu huyu ana wazimu; basi, maana yake nini kumleta kwangu?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Akishi akawaambia watumishi wake, “Mnajua kuwa mtu huyu ni mwendawazimu; kwa nini mmemleta kwangu?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akisi akawaambia watumishi wake: Mnamwona mtu huyu kuwa mwenye kichaa, sababu gani mmemleta kwangu?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo huyo Akishi akawaambia watumishi wake, Angalieni, mwaona ya kuwa mtu huyu ana wazimu; basi, maana yake nini kumleta kwangu?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hivyo, akabadilisha tabia yake, akijifanya mwenda-wazimu, akakuwa anakwaruzakwaruza kwenye milango ya muji, na kuacha mate yake yatiririke kwenye ndevu zake.