1 Samuel 21:3 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Je, una kitu chochote? Nakuomba mikate mitano au chochote kilichoko.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sasa basi, una nini mkononi? Nipatie mikate mitano au chochote unachoweza kupata.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kuna nini basi, chini ya mkono wako? Nipe mkononi mwangu mikate mitano, au cho chote ulicho nacho hapa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Je, una kitu chochote? Nakuomba mikate mitano au chochote kilichoko.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sasa basi, una nini mkononi? Nipatie mikate mitano au cho chote unachoweza kupata.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sasa basi, una nini mkononi? Nipatie mikate mitano au chochote unachoweza kupata.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kuna nini basi, chini ya mkono wako? Nipe mkononi mwangu mikate mitano, au chochote ulicho nacho hapa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Je, una kitu chochote? Nakuomba mikate mitano au chochote kilichoko.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Una chakula gani sasa? Kama ni mikate mitano, nipe, niende nayo, au cho chote kingine kinachoonekana!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kuna nini basi, chini ya mkono wako? Nipe mkononi mwangu mikate mitano, au cho chote ulicho nacho hapa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Daudi akamujibu: “Niko hapa kutokana na amri ya mufalme. Aliniambia nisimwelezee mutu yeyote juu ya kile ambacho amenituma. Nimeagana na watu wangu kwamba tukutane pahali fulani.