1 Samuel 31:10 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Zile silaha zake waliziweka nyumbani mwa Maashtarothi; kisha wakautundika mwili wake kwenye ukuta wa mji wa Beth-sheani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakaweka silaha zake katika hekalu la Maashtorethi, na kukifunga kiwiliwili chake katika ukuta wa Beth-Shani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakaziweka silaha zake nyumbani mwa Maashtorethi; wakakitundika kiwiliwili chake katika ukuta wa Beth-shani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Zile silaha zake waliziweka nyumbani mwa Maashtarothi; kisha wakautundika mwili wake kwenye ukuta wa mji wa Beth-sheani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakaweka silaha zake katika hekalu la Maashtorethi, na kukifunga kiwiliwili chake katika ukuta wa Beth-Shani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakaweka silaha zake katika hekalu la Maashtorethi, na kukifunga kiwiliwili chake katika ukuta wa Beth-Shani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakaziweka silaha zake nyumbani mwa Maashtorethi; wakakitundika kiwiliwili chake katika ukuta wa Beth-sheani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Zile silaha zake waliziweka nyumbani mwa Maashtarothi; kisha wakautundika mwili wake kwenye ukuta wa mji wa Beth-sheani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mata yake wakayaweka nyumbani mwa Maastaroti, nao mzoga wake wakautungika bomani kwa mji wa Beti-Sani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakaziweka silaha zake nyumbani mwa Maashtorethi; wakakitundika kiwiliwili chake katika ukuta wa Beth-shani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Zile silaha zake waliziweka katika nyumba ya Astaroti. Kisha wakautundika mwili wake kwenye ukuta wa muji wa Betisani.