1 Samuel 31:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini wakazi wa mji wa Yabesh-gileadi waliposikia Wafilisti walivyomtendea Shauli,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watu wa Yabesh-Gileadi waliposikia yale Wafilisti waliyomfanyia Sauli,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wenyeji wa Yabesh-Gileadi waliposikia habari zake, jinsi hao Wafilisti walivyomtenda Sauli,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini wakazi wa mji wa Yabesh-gileadi waliposikia Wafilisti walivyomtendea Shauli,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watu wa Yabeshi-Gileadi waliposikia kile Wafilisti walichomfanyia Sauli,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watu wa Yabeshi-Gileadi waliposikia yale Wafilisti walichomfanyia Sauli,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wenyeji wa Yabesh-gileadi waliposikia habari zake, jinsi hao Wafilisti walivyomtenda Sauli,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini wakazi wa mji wa Yabesh-gileadi waliposikia Wafilisti walivyomtendea Shauli,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wenyeji wa Yabesi wa Gileadi walipoyasikia, Wafilisti waliyomfanyizia Sauli,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wenyeji wa Yabesh-Gileadi waliposikia habari zake, jinsi hao Wafilisti walivyomtenda Sauli,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini wakaaji wa muji wa Yabeshi-Gileadi waliposikia mambo Wafilistini waliyomutendea Saulo,