1 Samuel 4:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Eli aliposikia sauti ya kilio, akauliza, “Kelele hizo ni za nini?” Yule mtu akaenda haraka kwa Eli ili kumpa habari hizo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Eli akasikia kelele za kilio, naye akauliza, “Ni nini maana ya makelele haya?” Yule mtu akafanya haraka kwenda kwa Eli,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Eli aliposikia kelele za kile kilio, akasema, Maana yake nini kelele za kishindo hiki? Yule mtu akafanya haraka, akaenda, akamwambia Eli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Eli aliposikia sauti ya kilio, akauliza, “Kelele hizo ni za nini?” Yule mtu akaenda haraka kwa Eli ili kumpa habari hizo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Eli akasikia kelele za kilio, naye akauliza, “Ni nini maana ya makelele haya?” Yule mtu akafanya haraka kwenda kwa Eli,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Eli akasikia kelele za kilio, naye akauliza, “Ni nini maana ya makelele haya?” Yule mtu akafanya haraka kwenda kwa Eli,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Eli aliposikia kelele za kile kilio, akasema, Maana yake nini kelele za kishindo hiki? Yule mtu akafanya haraka, akaenda, akamwambia Eli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Eli aliposikia sauti ya kilio, akauliza, “Kelele hizo ni za nini?” Yule mtu akaenda haraka kwa Eli ili kumpa habari hizo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Eli alipozisikia sauti za kilio akauliza: Sauti hizi za huo mtutumo ni za nini? Ndipo, yule mtu alipopiga mbio kufika kwake na kumpasha Eli hizo habari.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Eli aliposikia kelele za kile kilio, akasema, Maana yake nini kelele za kishindo hiki? Yule mtu akafanya haraka, akaenda, akamwambia Eli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Eli aliposikia sauti ya kilio, akauliza: “Kelele hizo ni za nini?” Yule mutu akaenda haraka kwa Eli kwa kumupa habari hizo.