1 Samuel 8:1 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Samueli alipokuwa mzee, aliwafanya watoto wake wa kiume kuwa waamuzi wa Israeli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Samweli alipokuwa mzee, akaweka wanawe kuwa waamuzi wa Israeli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hata Samweli alipokuwa mzee, aliwafanya wanawe wawe waamuzi juu ya Israeli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Samueli alipokuwa mzee, aliwafanya watoto wake wa kiume kuwa waamuzi wa Israeli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Samweli alipokuwa mzee, akaweka wanawe kuwa waamuzi wa Israeli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Samweli alipokuwa mzee, akaweka wanawe kuwa waamuzi wa Israeli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hata Samweli alipozeeka, aliwafanya wanawe wawe waamuzi juu ya Israeli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Samueli alipokuwa mzee, aliwafanya watoto wake wa kiume kuwa waamuzi wa Israeli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ikawa, Samweli alipokuwa mzee, akawaweka wanawe wawili kuwa waamuzi wa Waisiraeli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hata Samweli alipokuwa mzee, aliwafanya wanawe wawe waamuzi juu ya Israeli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Samweli alipokuwa muzee, aliwafanya wana wake kuwa waamuzi wa Waisraeli.