1 Samuel 8:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
ili nasi pia tuwe kama mataifa mengine. Mfalme wetu, atatuhukumu, atatuongoza na kutupigania vita vyetu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha tutakuwa kama mataifa mengine yote, tukiwa na mfalme wa kutuongoza na kwenda mbele yetu na kutupigania vita vyetu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ili sisi nasi tufanane na mataifa yote; tena ili mfalme wetu atuamue, tena atoke mbele yetu na kutupigia vita vyetu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
ili nasi pia tuwe kama mataifa mengine. Mfalme wetu, atatuhukumu, atatuongoza na kutupigania vita vyetu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha tutakuwa kama mataifa mengine yote, tukiwa na mfalme wa kutuongoza na kwenda mbele yetu na kutupigania vita vyetu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha tutakuwa kama mataifa mengine yote, tukiwa na mfalme wa kutuongoza na kwenda mbele yetu na kutupigania vita vyetu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ili sisi nasi tufanane na mataifa yote; tena ili mfalme wetu atuamue, tena atuongoze na kupigana vita vyetu
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
ili nasi pia tuwe kama mataifa mengine. Mfalme wetu, atatuhukumu, atatuongoza na kutupigania vita vyetu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nasi tunataka kuwa kama mataifa yote, mfalme wetu atukatie mashauri yetu, tena atutangulie, avipige vita vyetu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ili sisi nasi tufanane na mataifa yote; tena ili mfalme wetu atuamue, tena atoke mbele yetu na kutupigia vita vyetu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kusudi nasi vilevile tukuwe sawa mataifa mengine. Mufalme wetu, atatuamulia haki zetu, atatuongoza na kutupigania vita vyetu.”