1 Samuel 9:23 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Samueli akamwambia mpishi, “Lete ile sehemu niliyokupatia, nikakuambia uiweke kando.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Samweli akamwambia mpishi, “Leta ile sehemu ya nyama niliyokupa, ile niliyokuambia iweke kando.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Samweli akamwambia mpishi, Lete ile sehemu niliyokupa, hiyo niliyokuambia, Iweke akiba.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Samueli akamwambia mpishi, “Lete ile sehemu niliyokupatia, nikakuambia uiweke kando.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Samweli akamwambia mpishi, “Leta ile sehemu ya nyama niliyokupa, ile niliyokuambia iweke kando.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Samweli akamwambia mpishi, “Leta ile sehemu ya nyama niliyokupa, ile niliyokuambia iweke kando.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Samweli akamwambia mpishi, Lete ile sehemu niliyokupa, hiyo niliyokuambia, Iweke kando.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Samueli akamwambia mpishi, “Lete ile sehemu niliyokupatia, nikakuambia uiweke kando.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Samweli akamwambia mpishi: Lete hicho kipande, nilichokupa na kukuambia: Kiweke kwako!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Samweli akamwambia mpishi, Lete ile sehemu niliyokupa, hiyo niliyokuambia, Iweke akiba.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Samweli akamwambia mupishi: “Ulete ile sehemu niliyokupatia, nikakuambia uiweke pembeni.”