1 Thessalonians 2:3 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jambo tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo au nia mbaya; wala hatupendi kumdanganya mtu yeyote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana himizo letu halikutokana na hila wala nia mbaya au udanganyifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana maonyo yetu siyo ya ukosefu, wala ya uchafu, wala ya hila;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hatukuwa na kitu cha kupata faida kwa kuwaomba ninyi muiamini Habari Njema. Hatukuwa tunataka kuwafanya wajinga wala kuwadanganya.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Jambo tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo au nia mbaya; wala hatupendi kumdanganya mtu yeyote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jambo tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo au nia mbaya; wala hatupendi kumdanganya mtu yeyote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana himizo letu halikutokana na hila wala nia mbaya au udanganyifu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana himizo letu halikutokana na hila wala nia mbaya au udanganyifu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana maonyo yetu siyo ya ukosefu, wala ya uchafu, wala ya hila;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jambo tunalosisitiza kwenu si jambo linalotegemea uongo au nia mbaya; wala hatupendi kumdanganya mtu yeyote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani yale, tuliyowaonya, siyo ya kuwapoteza wala ya kuwapeleka penye uchafu wala ya kuwadanganya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana maonyo yetu siyo ya ukosefu, wala ya uchafu, wala ya hila;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mahubiri yetu si ya uongo, wala yenye nia mbaya wala ya udanganyifu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana maonyo yetu siyo ya ukosefu wala ya uchafu, wala ya hila,