1 Thessalonians 4:2 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana mnayajua yale maagizo tuliyowapeni kwa mamlaka ya Bwana Yesu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa kuwa mnajua maagizo tuliyowapa kwa mamlaka ya Bwana Isa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa mnajua ni maagizo gani tuliyowapa kwa Bwana Yesu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mnafahamu yote tuliyowaamuru kufanya kwa mamlaka ya Bwana Yesu Kristo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana mnayajua yale maagizo tuliyowapeni kwa mamlaka ya Bwana Yesu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana mnayajua yale maagizo tuliyowapeni kwa mamlaka ya Bwana Yesu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa kuwa mnajua ni maagizo gani tuliyowapa kwa mamlaka ya Bwana Yesu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa kuwa mnajua ni maagizo gani tuliyowapa kwa mamlaka ya Bwana Isa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kuwa mnajua ni maagizo gani tuliyowapa kwa Bwana Yesu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana mnayajua yale maagizo tuliyowapeni kwa mamlaka ya Bwana Yesu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani mwayajua maagizo, tuliyowaagiza, kama tulivyoyapata kwake Bwana Yesu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa mnajua ni maagizo gani tuliyowapa kwa Bwana Yesu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana munajua maagizo gani tuliyowatolea kutoka kwa Bwana Yesu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana mnajua maagizo gani tuliyowapeni kwa Bwana Yesu.