1 Thessalonians 4:3 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu anataka nyinyi muwe watakatifu na mjiepushe kabisa na maisha ya zinaa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mapenzi ya Mungu ni ninyi mtakaswe, ili mjiepushe na uasherati,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kutakaswa kwenu, mwepukane na uasherati;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mungu anawataka muwe watakatifu. Anawataka mkae mbali na dhambi za zinaa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mungu anataka ninyi muwe watakatifu na mjiepushe kabisa na maisha ya zinaa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu anataka nyinyi muwe watakatifu na mjiepushe kabisa na maisha ya zinaa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu ninyi mwe watakatifu, ili kwamba mjiepushe na uasherati,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mapenzi ya Mwenyezi Mungu ni kwamba ninyi mtakaswe, ili kwamba mjiepushe na zinaa,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kutakaswa kwenu, mwepukane na uasherati;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu anataka nyinyi muwe watakatifu na mjiepushe kabisa na maisha ya zinaa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani haya ndiyo, Mungu ayatakayo: mtakaswe, mwuepuke ugoni.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kutakaswa kwenu, mwepukane na uasherati;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kitu Mungu anachotaka ni kwamba mukuwe watakatifu na muepuke mambo ya uasherati.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kutakaswa kwenu, mwepukane na nasharati;