1 Thessalonians 4:7 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu hakutuita tuishi maisha ya zinaa, bali tuishi katika utakatifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana Mungu hakutuitia uchafu, bali utakatifu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mungu alituita kuwa watakatifu na safi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mungu hakutuita tuishi maisha ya zinaa, bali tuishi katika utakatifu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu hakutuita tuishi maisha ya zinaa, bali tuishi katika utakatifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana Mungu hakutuitia uchafu, bali utakatifu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana Mungu hakutuitia uchafu, bali utakatifu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu hakutuita tuishi maisha ya zinaa, bali tuishi katika utakatifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani Mungu hakutuitia kuwa wenye uchafu, ila tuje, tutakaswe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana Mungu hakutuita kusudi tuishi katika uchafu, lakini katika utakatifu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana Mungu hakutuitia uchafu, bali tuwe katika utakaso.