1 Thessalonians 5:11 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo farijianeni na kusaidiana nyinyi kwa nyinyi, kama mnavyofanya sasa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo farijianeni na kujengana, kama vile mnavyofanya sasa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi, farijianeni na kujengana kila mtu na mwenzake, vile vile kama mnavyofanya.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo farijianeni ninyi kwa ninyi na msaidiane kukua imara katika imani, kama mnavyofanya sasa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa hiyo farijianeni na kusaidiana ninyi kwa ninyi kama mnavyofanya sasa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo farijianeni na kusaidiana nyinyi kwa nyinyi, kama mnavyofanya sasa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo farijianeni na kujengana, kama vile mnavyofanya sasa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo farijianeni na kujengana, kama vile mnavyofanya sasa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi, farijianeni na kujengana kila mtu na mwenzake, hakika kama mnavyofanya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo farijianeni na kusaidiana nyinyi kwa nyinyi, kama mnavyofanya sasa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo mtulizane na kujengana kila mmoja na mwenzake, kama mnavyofanya!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi, farijianeni na kujengana kila mtu na mwenzake, vile vile kama mnavyofanya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi mufarijiane na kujengana imani, kama vile munavyozoea kufanya.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi, farijianeni mkajengeane, killa mtu mwenzake, vile vile kama mnavyofanya.