1 Thessalonians 5:24 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yeye anayewaita nyinyi atafanya hivyo kwani ni mwaminifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye aliyewaita ni mwaminifu naye atafanya hayo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye ni mwaminifu ambaye awaita, naye atafanya.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yeye awaitae atawatendea haya. Mnaweza kumtumainia.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yeye anayewaita ninyi atafanya hivyo kwani ni mwaminifu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yeye anayewaita nyinyi atafanya hivyo kwani ni mwaminifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye aliyewaita ni mwaminifu naye atafanya hayo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye aliyewaita ni mwaminifu naye atafanya hayo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye ni mwaminifu ambaye awaita, naye atafanya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yeye anayewaita nyinyi atafanya hivyo kwani ni mwaminifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye aliyewaita ni mwelekevu, naye ndiye atakayeyafanya.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye ni mwaminifu ambaye awaita, naye atafanya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yule anayewaita ninyi atatimiza mambo hayo, kwa maana yeye ni mwaminifu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yeye ni mwaminifu awaitae, nae atafanya.