1 Thessalonians 5:6 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, tusilale usingizi kama wengine; tunapaswa kukesha na kuwa na kiasi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo basi, tusilale kama watu wengine wanavyolala, bali tukeshe na kuwa na kiasi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi tusilale usingizi kama wengine, bali tukeshe, na kuwa na kiasi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo tusiwe kama watu wengine. Tusiwe wasinziao. Tuwe macho na wenye kiasi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, tusilale usingizi kama wengine; tunapaswa kukesha na kuwa na kiasi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, tusilale usingizi kama wengine; tunapaswa kukesha na kuwa na kiasi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo basi, tusilale kama watu wengine walalavyo, bali tukeshe na kuwa na kiasi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo basi, tusilale kama watu wengine walalavyo, bali tukeshe na kuwa na kiasi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi tusilale usingizi kama wengine, bali tukeshe, na kuwa na kiasi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, tusilale usingizi kama wengine; tunapaswa kukesha na kuwa na kiasi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa sababu hii tusilale usingizi, kama wale wengine wanavyolala usingizi, ila tukeshe na kulevuka!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi tusilale usingizi kama wengine, bali tukeshe, na kuwa na kiasi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi tusilale usingizi kama vile wengine, lakini tukeshe na kuwa wakadirifu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi tusilale kama wengine, bali tukeshe, na kuwa na kiasi.