1 Timothy 2:10 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini wajipambe na kuvutia kwa matendo mema wanayofanya. Hayo ndiyo yanayofaa zaidi kwa wanawake wanaosema kuwa wamejitoa kwa ajili ya Mungu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ila mapambo yao yawe matendo mema yawapasayo wanawake wanaoungama kuwa wake Mungu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini kujipamba kwao kuwe matendo mema yanayostahili kutendwa na wanawake wanaojidai kwamba wanajitoa kwa kumwabudu Mungu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
bali kama iwapasavyo wanawake wanaokiri utawa, kwa matendo mema.