1 Timothy 2:13 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana Adamu aliumbwa kwanza, halafu Hawa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Hawa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
kwa sababu Adamu aliumbwa kwanza na Hawa akaumbwa baadaye.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana Adamu aliumbwa kwanza, halafu Hawa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana Adamu aliumbwa kwanza, halafu Hawa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Hawa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana Adamu aliumbwa kwanza, halafu Hawa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, halafu Ewa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana, Adamu ndiye aliyeumbwa wa kwanza, na kisha Eva.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadae.