1 Timothy 2:14 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na wala si Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja sheria ya Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na Adamu hakudanganywa. Bali mwanamke ndiye aliyedanganywa naye akatenda dhambi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Na wala si Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja sheria ya Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na wala si Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja sheria ya Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na wala si Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja sheria ya Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Adamu siye aliyedanganyika, ila mwanamke ndiye aliyedanganyika, akatangulia kukosa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na si Adamu aliyedanganywa, lakini ni mwanamuke ndiye aliyedanganywa na kuasi agizo la Mungu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na Adamu hakudanganywa, bali mwanamke akidanganywa aliingia hali ya kukosa.