1 Timothy 2:4 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
ambaye anataka watu wote waokolewe na wapate kuujua ukweli.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
anayetaka watu wote waokolewe na wafikie kuijua kweli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ambaye hutaka watu wote waokolewe, na kupata kujua yaliyo kweli.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mungu anataka kila mtu aokolewe na aielewe kweli kikamilifu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
ambaye anataka watu wote waokolewe na wapate kuujua ukweli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
ambaye anataka watu wote waokolewe na wapate kuujua ukweli.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
anayetaka watu wote waokolewe na wafikie kuijua kweli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
anayetaka watu wote waokolewe na wafikie kuijua kweli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ambaye hutaka watu wote waokolewe, na kupata kujua yaliyo kweli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
ambaye anataka watu wote waokolewe na wapate kuujua ukweli.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Huyu anataka, watu wote waokolewe, wapate kutambua yaliyo ya kweli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ambaye hutaka watu wote waokolewe, na kupata kujua yaliyo kweli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
anayetaka watu wote waokolewe na kuweza kutambua ukweli.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
atakae watu wote waokolewe wakapate kujua sana yaliyo kweli.