1 Timothy 3:4 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
anapaswa awe mtu awezaye kuongoza vema nyumba yake, na kuwafanya watoto wake wawe watii kwa heshima yote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lazima aweze kuisimamia nyumba yake mwenyewe vizuri na kuhakikisha kwamba watoto wake wanamtii na kuwa na heshima kwa kila njia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
mwenye kuisimamia nyumba yake vema, ajuaye kutiisha watoto katika ustahivu;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ni lazima awe kiongozi mzuri kwa familia yake mwenyewe. Hii ina maana kwamba watoto wake wanamtii kwa heshima zote.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
anapaswa awe mtu awezaye kuongoza vema nyumba yake, na kuwafanya watoto wake wawe watii kwa heshima yote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
anapaswa awe mtu awezaye kuongoza vema nyumba yake, na kuwafanya watoto wake wawe watii kwa heshima yote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lazima aweze kuisimamia nyumba yake mwenyewe vizuri na kuhakikisha kwamba watoto wake wanamtii na kuwa na heshima kwa kila njia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lazima aweze kuisimamia nyumba yake mwenyewe vizuri na kuhakikisha kwamba watoto wake wanamtii na kuwa na heshima kwa kila njia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
mwenye kuisimamia nyumba yake vema, ajuaye kutiisha watoto katika ustahivu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
anapaswa awe mtu awezaye kuongoza vema nyumba yake, na kuwafanya watoto wake wawe watii kwa heshima yote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ajue kuiangalia vizuri nyumba yake mwenyewe, hata watoto wake wawe wenye kutii na kuwapa watu wote macheo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
mwenye kuisimamia nyumba yake vema, ajuaye kutiisha watoto katika ustahivu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Anapaswa kuwa mutu mwenye kuongoza jamaa yake vizuri na kuadibisha watoto wake kusudi wakuwe wenye utii na wenye heshima kabisa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
mwenye kusimamia vema nyumba yake, ajuae kuwatiisha watoto wake pamoja na kustahiwa;