1 Timothy 4:11 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wape maagizo hayo na mafundisho hayo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mambo haya yaagize na kuyafundisha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mambo hayo uyaagize na kuyafundisha.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Amuru na kufundisha mambo haya.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wape maagizo hayo na mafundisho hayo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wape maagizo hayo na mafundisho hayo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mambo haya yaagize na kuyafundisha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mambo haya yaagize na kuyafundisha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mambo hayo uyaagize na kuyafundisha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wape maagizo hayo na mafundisho hayo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mambo haya uyaagize na kuyafundisha!*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mambo hayo uyaagize na kuyafundisha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hayo ndiyo maneno unayopaswa kuagiza na kufundisha.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Uwaagize watu hayo na kuwafundisha hayo.