1 Timothy 4:5 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
kwa sababu neno la Mungu na sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa sababu kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kila kitu alichokiumba kiliumbwa kitakatifu kwa namna alivyosema na kwa maombi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
kwa sababu neno la Mungu na sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
kwa sababu neno la Mungu na sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa sababu kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa sababu kimetakaswa kwa neno la Mwenyezi Mungu na kwa kuomba.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
kwa sababu neno la Mungu na sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani kinatakaswa kwa neno lake Mungu, watu wanapokiombea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana kwa njia ya neno la Mungu na ya maombi, chakula kinatakaswa mbele yake.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kuomba.