1 Timothy 5:1 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Usimkemee mwanamume mzee, bali msihi kama vile angekuwa baba yako. Watendee vijana wa kiume kama ndugu zako,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Usimkemee mzee kwa ukali bali umshawishi kama vile angekuwa ni baba yako. Uwatendee vijana kama vile ndugu zako;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mzee usimkemee, bali umwonye kama baba; na vijana kama ndugu;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Usiseme kwa hasira kwa mtu mzima. Lakini sema naye kama baba yako. Watunze vijana kama kaka zako.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Usimkemee mtu mzee, bali msihi kama vile angekuwa baba yako. Watendee vijana kama ndugu zako,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Usimkemee mwanamume mzee, bali msihi kama vile angekuwa baba yako. Watendee vijana wa kiume kama ndugu zako,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Usimkemee mzee kwa ukali bali umuonye kama vile angekuwa ni baba yako. Uwatendee vijana kama vile ndugu zako,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Usimkemee mzee kwa ukali bali umshawishi kama vile angekuwa ni baba yako. Uwatendee vijana kama vile ndugu zako;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mzee usimkemee, bali umwonye kama baba; na wanaume vijana kama ndugu;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Usimkemee mwanamume mzee, bali msihi kama vile angekuwa baba yako. Watendee vijana wa kiume kama ndugu zako,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Aliye mzee usimkaripie, ila umbembeleze, kama ni baba yako! Walio waume wazima useme nao, kama ni ndugu zako!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mzee usimkemee, bali umwonye kama baba; na vijana kama ndugu;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Usimukaripie muzee kwa nguvu, lakini umwonye kama baba yako. Uwatendee vijana wanaume kama wandugu zako,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
USIMKEMEE mzee, bali mwonye kama baba, na wadogo wako kama ndugu: