1 Timothy 5:12 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nao kwa njia hiyo watajiletea hukumu kwa kukiuka ahadi yao ya kwanza.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
nao wana hukumu kwa kuwa wameiacha imani yao ya kwanza.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha watahukumiwa kustahili adhabu kwa kutofanya walichoahidi kutenda hapo kwanza.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nao kwa njia hiyo watajiletea hukumu kwa kukiuka ahadi yao ya kwanza.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nao kwa njia hiyo watajiletea hukumu kwa kukiuka ahadi yao ya kwanza.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
nao wana hukumu kwa kuwa wameiacha imani yao ya kwanza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ijapo wajiumbue kwamba: Hivyo, walivyomtegemea Mungu kwanza, wamevitangua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
nao wana hukumu kwa kuwa wameiacha imani yao ya kwanza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na kwa hiyo wanavunja agano walilofanya naye kwanza na kuanguka katika kosa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
nao wana hukumu, kwa kuwa wameiacha imani yao ya kwanza.