1 Timothy 5:24 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Dhambi za watu wengine huonekana waziwazi, nazo zawatangulia kwenye hukumu; lakini dhambi za wengine huonekana tu baadaye.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Dhambi za watu wengine ni dhahiri nazo zinawatangulia kwenda hukumuni; na dhambi za watu wengine zinawafuata nyuma yao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Dhambi za watu wengine zi dhahiri, zatangulia kwenda hukumuni; wengine dhambi zao zawafuata.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Dhambi za watu wengine ni rahisi kuziona, hizo zinaonesha kwamba watahukumiwa. Lakini dhambi za wengine zitajulikana tu hapo baadaye.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Dhambi za watu wengine huonekana waziwazi, nazo zawatangulia kwenye hukumu; lakini dhambi za wengine huonekana tu baadaye.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Dhambi za watu wengine huonekana waziwazi, nazo zawatangulia kwenye hukumu; lakini dhambi za wengine huonekana tu baadaye.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Dhambi za watu wengine ni dhahiri nazo zinawatangulia kwenda hukumuni na dhambi za watu wengine zinawafuata nyuma yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Dhambi za watu wengine ni dhahiri nazo zinawatangulia kwenda hukumuni; na dhambi za watu wengine zinawafuata nyuma yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Dhambi za watu wengine ziko dhahiri, zatangulia kwenda hukumuni; wengine dhambi zao zawafuata.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Dhambi za watu wengine huonekana waziwazi, nazo zawatangulia kwenye hukumu; lakini dhambi za wengine huonekana tu baadaye.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Watu wengine makosa yao yako waziwazi, huwaongoza na kuwapeleka penye hukumu; lakini wengine makosa yao hutokea nyuma yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Dhambi za watu wengine zi dhahiri, zatangulia kwenda hukumuni; wengine dhambi zao zawafuata.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Zambi za watu wamoja zinaonekana waziwazi hata mbele hawajahukumiwa. Lakini zambi za wengine zinajulikana kisha.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Dhambi za watu wengine ni dhahiri, zatangulia kwenda hukumuni; wengine dhamhi zao zawafuata.