1 Timothy 5:7 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wape maagizo haya, wasije wakawa na lawama.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wape watu maagizo haya pia, ili asiwepo yeyote wa kulaumiwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mambo hayo pia uyaagize, ili wasiwe na lawama.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wambie waumini huko kutunza familia zao wenyewe ili kwamba asiwepo yeyote atakayesema wanafanya vibaya.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wape maagizo haya, wasije wakawa na lawama.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wape maagizo haya, wasije wakawa na lawama.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wape watu maagizo haya pia, ili asiwepo ye yote wa kulaumiwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wape watu maagizo haya pia, ili asiwepo yeyote wa kulaumiwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mambo hayo pia uyaagize, ili wasiwe na lawama.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wape maagizo haya, wasije wakawa na lawama.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mambo haya uyaagize, watu wasione neno la kuwaonya!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mambo hayo pia uyaagize, ili wasiwe na lawama.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hayo ndiyo maneno unayopaswa kuwaagiza wajane kusudi wasikuwe na mashitaki.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Uwaagize haya, illi wawe bawana lawama.