1 Timothy 6:8 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo basi, kama tunacho chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ila tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo, kama tukiwa na chakula na nguo, tutaridhika navyo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa hiyo basi, kama tunacho chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo basi, kama tunacho chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ila tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo basi, kama tunacho chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini tukiwa na vyakula na vya kuvaa tuseme: Vinatutoshea!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ila tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi kama tukiwa na chakula na nguo, vile vinatosha.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
bali tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.