2 Chronicles 1:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
ninakupa hekima na maarifa. Pia, nitakupa utajiri, mali na heshima zaidi ya mfalme mwingine yeyote aliyekuwako kabla yako na mfalme mwingine yeyote atakayetawala baada yako.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa hiyo utapewa hekima na maarifa. Tena nitakupa pia mali, utajiri na heshima, ambavyo hakuna mfalme yeyote kabla yako amewahi kuwa navyo, na hakuna yeyote baada yako atakayekuwa navyo.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
basi hekima na maarifa umepewa; nami nitakupa mali, na utajiri, na utukufu, kupita walivyokuwa navyo wafalme wote waliokuwa kabla yako, wala baada yako hapatakuwa na mtu atakayekuwa navyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
ninakupa hekima na maarifa. Pia, nitakupa utajiri, mali na heshima zaidi ya mfalme mwingine yeyote aliyekuwako kabla yako na mfalme mwingine yeyote atakayetawala baada yako.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa hiyo utapewa hekima na maarifa. Tena nitakupa pia mali, utajiri na heshima ambayo hakuna mfalme ye yote aliyekuwepo kabla yako amewahi kuwa navyo na hakuna ye yote baada yako atakayekuwa navyo.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa hiyo utapewa hekima na maarifa. Tena nitakupa pia mali, utajiri na heshima, ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekuwepo kabla yako amewahi kuwa navyo, na hakuna yeyote baada yako atakayekuwa navyo.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
basi hekima na maarifa umepewa; nami nitakupa mali, na utajiri, na utukufu, kupita walivyokuwa navyo wafalme wote waliokuwa kabla yako, wala baada yako hapatakuwa na mtu atakayekuwa navyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
ninakupa hekima na maarifa. Pia, nitakupa utajiri, mali na heshima zaidi ya mfalme mwingine yeyote aliyekuwako kabla yako na mfalme mwingine yeyote atakayetawala baada yako.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kwa hiyo umekwisha kupewa werevu wa kweli na ujuzi, tena nitakupa mali na mapato mengi na utukufu, wasioupata wafalme wote waliokuwako mbele yako, nao watakaokuwako nyuma yako hawatayapata.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
basi hekima na maarifa umepewa; nami nitakupa mali, na utajiri, na utukufu, kupita walivyokuwa navyo wafalme wote waliokuwa kabla yako, wala baada yako hapatakuwa na mtu atakayekuwa navyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
ninakupa hekima na maarifa. Vilevile, nitakupa utajiri, mali na heshima zaidi ya mufalme mwingine yeyote aliyekuwa mbele yako na mufalme mwingine yeyote atakayetawala nyuma yako.”