2 Chronicles 1:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Farasi wa Solomoni walitoka Misri na Kilikia; wafanyabiashara wake waliwanunua huko.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue. Wafanyabiashara wa mfalme waliwanunua kutoka Kue.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nao farasi, aliokuwa nao Sulemani wakaletwa toka Misri; wakapewa wafanya biashara wake mfalme kwa makundi; kila kundi na thamani yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Farasi wa Solomoni walitoka Misri na Kilikia; wafanyabiashara wake waliwanunua huko.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue. Wafanya biashara wa kifalme waliwanunua kutoka Kue.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue. Wafanyabiashara wa mfalme waliwanunua kutoka Kue.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nao farasi, aliokuwa nao Sulemani wakaletwa toka Misri; wakapewa wafanya biashara wake mfalme kwa makundi; kila kundi na thamani yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Farasi wa Solomoni walitoka Misri na Kilikia; wafanyabiashara wake waliwanunua huko.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao farasi, Salomo aliokuwa nao, walitoka Misri, wachuuzi wengi wa mfalme waliwaleta wengi wakiwanunua na kuzilipa bei zao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nao farasi, aliokuwa nao Sulemani wakaletwa toka Misri; wakapewa wafanya biashara wake mfalme kwa makundi; kila kundi na thamani yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Farasi wa Solomono walitoka Misri na Kilikia; wachuuzi wake waliwanunua toka kule.