2 Chronicles 1:7 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Usiku huo, Mungu alimtokea Solomoni, akamwambia, “Omba chochote, nami nitakupa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Usiku ule Mungu akamtokea Sulemani na kumwambia, “Omba lolote utakalo nikupe.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Usiku ule Mungu akamtokea Sulemani, akamwambia, Omba utakalo nikupe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Usiku huo, Mungu alimtokea Solomoni, akamwambia, “Omba chochote, nami nitakupa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Usiku ule Mungu akamtokea Solomoni na kumwambia, “Omba lo lote unalotaka nami nitakupa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Usiku ule Mungu akamtokea Sulemani na kumwambia, “Omba lolote utakalo nikupe.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Usiku ule Mungu akamtokea Sulemani, akamwambia, Omba utakalo nikupe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Usiku huo, Mungu alimtokea Solomoni, akamwambia, “Omba chochote, nami nitakupa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
*Usiku huo Mungu akamtokea Salomo, akamwambia: Omba kwangu, uyatakayo, nikupe!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Usiku ule Mungu akamtokea Sulemani, akamwambia, Omba utakalo nikupe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Usiku ule, Mungu akamutokea Solomono, akamwambia: “Omba kitu chochote unachotaka, nami nitakupa.”