2 Chronicles 10:13 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Naye mfalme Rehoboamu akawajibu kwa ukali, akapuuza shauri la wazee,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mfalme akawajibu watu kwa ukatili. Alikataa ushauri aliopewa na wazee,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mfalme akawajibu kwa ukali; mfalme Rehoboamu akaliacha shauri la wazee, akasema nao kwa shauri la vijana,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Naye mfalme Rehoboamu akawajibu kwa ukali, akapuuza shauri la wazee,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mfalme akawajibu watu kwa ukatili. Akikataa shauri alilopewa na wazee,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mfalme akawajibu watu kwa ukatili. Akikataa shauri alilopewa na wazee,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mfalme akawajibu kwa ukali; mfalme Rehoboamu akaliacha shauri la wazee, akasema nao kwa shauri la vijana,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Naye mfalme Rehoboamu akawajibu kwa ukali, akapuuza shauri la wazee,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, mfalme alipowapa majibu magumu, yeye Rehabeamu akiliacha shauri la wazee,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mfalme akawajibu kwa ukali; mfalme Rehoboamu akaliacha shauri la wazee, akasema nao kwa shauri la vijana,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Naye mufalme Rehoboamu akawajibu kwa ukali, akazarau shauri la wazee,