2 Chronicles 11:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Naye alimzalia wana watatu: Yeushi, Shemaria na Zahamu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mahalati alimzalia Rehoboamu wana: Yeushi, Shemaria na Zahamu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
akamzalia wana, Yeushi, na Shemaria, na Zahamu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Naye alimzalia wana watatu: Yeushi, Shemaria na Zahamu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mahalati alimzalia Rehoboamu wana: Yeushi, Shemaria na Zahamu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mahalati alimzalia Rehoboamu wana: Yeushi, Shemaria na Zahamu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
akamzalia wana, Yeushi, na Shemaria, na Zahamu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Naye alimzalia wana watatu: Yeushi, Shemaria na Zahamu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Huyu akamzalia wana hawa: Yeusi na Semaria na Zahamu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
akamzalia wana, Yeushi, na Shemaria, na Zahamu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Naye akamuzalia wana watatu: Yeusi, Semaria na Zahamu.