2 Chronicles 12:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ndipo wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekesha, wakasema, “Mwenyezi-Mungu ametenda sawa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Viongozi wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “Mwenyezi Mungu ni mwenye haki.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndipo wakajinyenyekeza wakuu wa Israeli na mfalme; wakasema, Bwana ndiye mwenye haki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ndipo wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekesha, wakasema, “Mwenyezi-Mungu ametenda sawa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Viongozi wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “BWANA Mungu ni mwenye haki.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Viongozi wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “ bwana Mwenyezi Mungu ni mwenye haki.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ndipo wakajinyenyekeza wakuu wa Israeli na mfalme; wakasema, BWANA ndiye mwenye haki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ndipo wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekesha, wakasema, “Mwenyezi-Mungu ametenda sawa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, wakuu wa Isiraeli na mfalme walipojinyenyekeza, wakasema: Mwongofu ni Bwana!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo wakajinyenyekeza wakuu wa Israeli na mfalme; wakasema, BWANA ndiye mwenye haki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu wakubwa wa Israeli na mufalme wakajinyenyekeza, wakasema: “Yawe ni mwenye haki.”