2 Chronicles 12:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
lakini watamtumikia ili wapate kujua tofauti iliyopo kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa duniani.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hata hivyo, watamtumikia Shishaki ili wapate kujifunza tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa nchi nyingine.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Walakini watamtumikia; ili wapate kujua utumwa wangu, na huo utumwa wa falme za nchi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
lakini watamtumikia ili wapate kujua tofauti iliyopo kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa duniani.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hata hivyo, watamtumikia Shishaki ili wapate kujifunza tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa nchi nyingine.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hata hivyo, watamtumikia Shishaki ili wapate kujifunza tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa nchi nyingine.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Walakini watamtumikia; ili wapate kujua utumwa wangu, na huo utumwa wa falme za nchi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
lakini watamtumikia ili wapate kujua tofauti iliyopo kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa duniani.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini watakuwa watumishi wake, wapate kujua, utumishi wangu ulivyo, nao utumishi wa wafalme wa nchi nyingine ulivyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Walakini watamtumikia; ili wapate kujua utumwa wangu, na huo utumwa wa falme za nchi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
lakini watamutumikia kusudi wapate kujua tofauti inayokuwa kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa dunia.”