2 Chronicles 14:10 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Asa alitoka akaenda kupigana naye. Pande zote mbili zilijipanga katika bonde la Sefatha karibu na Maresha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Asa akatoka kumkabili, nao wakapanga vita katika Bonde la Sefatha karibu na Maresha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akatoka Asa amlaki, wakapanga vita Maresha bondeni mwa Sefatha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Asa alitoka akaenda kupigana naye. Pande zote mbili zilijipanga katika bonde la Sefatha karibu na Maresha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Asa akatoka kumkabili, nao wakapanga vita katika Bonde la Sefatha karibu na Maresha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Asa akatoka kumkabili, nao wakapanga vita katika Bonde la Sefatha karibu na Maresha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Asa akatoka kukutana naye, wakapanga vita Maresha bondeni mwa Sefatha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Asa alitoka akaenda kupigana naye. Pande zote mbili zilijipanga katika bonde la Sefatha karibu na Maresha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Asa akamtokea, wakajipanga kupigana katika bonde la Sefata karibu ya Maresa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akatoka Asa amlaki, wakapanga vita Maresha bondeni mwa Sefatha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hapo Asa akamulilia Yawe, Mungu wake, akisema: “Ee Yawe, hakuna mwingine kama wewe, mwenye uwezo wa kusaidia jeshi likuwe zaifu au lenye nguvu. Utusaidie, ee Yawe, Mungu wetu, kwa sababu sisi tunakutegemea wewe, na kwa jina lako tumekuja kupigana vita na jeshi hili kubwa ajabu. Ee Yawe, wewe ndiwe Mungu wetu; usimuruhusu mwanadamu yeyote ashindane nawe.”