2 Chronicles 15:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wote walikusanyika Yerusalemu katika mwezi wa tatu wa mwaka wa kumi na tano wa utawala wake Asa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi wakakusanyika huko Yerusalemu mwezi wa tatu katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi wakakusanyika huko Yerusalemu mwezi wa tatu, katika mwaka wa kumi na tano wa kumiliki kwake Asa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wote walikusanyika Yerusalemu katika mwezi wa tatu wa mwaka wa kumi na tano wa utawala wake Asa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi wakakusanyika huko Yerusalemu mwezi wa tatu katika mwaka wa kumi na tano wa kutawala kwake Asa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi wakakusanyika huko Yerusalemu mwezi wa tatu katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi wakakusanyika huko Yerusalemu mwezi wa tatu, katika mwaka wa kumi na tano wa kumiliki kwake Asa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wote walikusanyika Yerusalemu katika mwezi wa tatu wa mwaka wa kumi na tano wa utawala wake Asa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakakusanyika Yerusalemu katika mwezi wa tatu wa mwaka wa kumi na tano wa Ufalme wa Asa,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi wakakusanyika huko Yerusalemu mwezi wa tatu, katika mwaka wa kumi na tano wa kumiliki kwake Asa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wote walikusanyika Yerusalema katika mwezi wa tatu wa mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.