2 Chronicles 15:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hapakuwa na vita tena nchini mpaka mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hapakuwa na vita tena hadi mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wala hapakuwa na vita tena hata mwaka wa thelathini na tano wa kutawala kwake Asa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hapakuwa na vita tena nchini mpaka mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hapakuwepo vita tena mpaka mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hapakuwepo vita tena mpaka mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wala hapakuwa na vita tena hata mwaka wa thelathini na tano wa kutawala kwake Asa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hapakuwa na vita tena nchini mpaka mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Vita havikuwako hata mwaka wa 35 wa ufalme wa Asa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wala hapakuwa na vita tena hata mwaka wa thelathini na tano wa kutawala kwake Asa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hapakukuwa vita tena katika inchi mpaka mwaka wa makumi tatu na tano wa utawala wa Asa.